Matthew 17:22-23

22 aSiku moja walipokuwa pamoja huko Galilaya, Yesu akawaambia, “Mwana wa Adamu atasalitiwa na kutiwa mikononi mwa watu. 23 bNao watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa.” Wanafunzi wakahuzunika sana.

Copyright information for SwhNEN